Tamisemi kuna shida gani?

Nsam

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2018
Posts
212
Reaction score
290
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?


Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi

Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi


Kwann msiajiri degree kw mshahar mdgo

Kuliko haya magumu wanayopata vijan

Fikirien upya


Biyaz ni mbaya sanaa


Tafadhali tunaomba koz za sanaa zifutwe
 
5 tenaaa, tumejipangaaa mwaka huu wataisomaaaa, wataisoma nambaaaaa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
usiwe na shaka mkuu alitangaza ajira milioni 8 cha muhimu ww vumilia tu dawa iingie
 
Wakujitolea hawajapata?
 
Na volunteer tangu mwaka jana mwezi wa 7 pamoja na mdogo wangu, but wote 0

Do not give up. We keep moving
 
Na volunteer tangu mwaka jana mwezi wa 7 pamoja na mdogo wangu, but wote 0

Do not give up. We keep moving

Serikali inatoshika vinyeo
 

Exactly
 
Hao wanaojitolea wajiunge na UVCCM. Vijana mnakwama wapi?
 
Pole mwalimu ila nyie wa bachelor niliskia hamtaki kufundisha primary school, koo jiungeni UVCCM tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…