Kuna majina feki mengi sana kwenye hizi ajira
Ukitaka ku prove nakutolea mfano wa jina la huyu ABDALLAH LEONARD SHONDE
Ni jina hewa kwa sababu zifuatazo
1. Ukiangalia index namba yake ya f4 ambayo ni S3630/0099/2013
Kwa mwaka huo huo na shule hiyo hiyo na darasa hilo hilo kuna mwanafunzi alikuwa ana index ya S3630/0098/2013 SAIDI. ZAKIA
Utofauti wao ni 98, kwa 99
Sasa jiulize mpangilio wa index namba zinafata alfabeti je huyu SAIDI ZAKIA mwenye 98 na ABDALLAH LEONARD mwenye 99 ilikuwaje SAID amtangulie ABDALLAH kwenye index namba ?
2. Pia tujuavyo majina ya Alfabeti zinazo anza na A kwa wavulana mara zote huwaga index namba zao zinakuwa mwanzoni mwanzoni sio kwenye tisini na
Sasa hapa unajioji hilo darasa lilikuwa na majina ya wavulana wenye alfabeti ya A 98?
Kitu ambacho Kina mfanya huyu ABDALLAH kuwa na index namba 99? kwa nchi yetu na kwa mjibu wa jamii kimajina ilivyo haiwezekani
Hivyo kwa uchakachuzi huo huyu ABDALLAH LEONARD SHONDE jina feki amechakachuliwa kutoka kwa SAID ZAKIA jina original ambapo course aliyo somea huyu OG na ya yule feki zote ni sawa