Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
nafikiri afadhali Shibuda kuliko Hiza maana tunapata misamiati mipya na maneno mapya ya kiswahili kama UJIRA WA MWIA
Shibuda huwa namtazama anapo ongea lile domo lake kubwa, anajuwa kulitumia kuongea upupu! Halina point yoyote zaidi ya kutokota pumba-nadhani siku zake zinahesabika Chadema, bado amevaa gamba inatakiwa arudi alikotoka huku kwa wapambanaji hatoshi!