King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Umofia kwenu JF,
Nimestuka baada ya kusikia tangazo ITV likisema kutafanyika tamasha kubwa pale mlimani city tar1 mwezi wa tisa,watakuwepo wakinama kama rwakatare,anti sadaka pia na erick shigongo!!! Hapo kwenye bold panastuaaa!!
Nimestuka baada ya kusikia tangazo ITV likisema kutafanyika tamasha kubwa pale mlimani city tar1 mwezi wa tisa,watakuwepo wakinama kama rwakatare,anti sadaka pia na erick shigongo!!! Hapo kwenye bold panastuaaa!!