Tamaa na pombe zawaponza wadada watatu

Tamaa na pombe zawaponza wadada watatu

Hapana mkuu lakini tusifikie hatua hiyo hata sisi tuna ndugu wa kike, je hao wanaofanya hivo wakisikia ndugu zao wamefanyiwa hivo watafurahi?
Kuna habari kanipatia dereva wangu ninaemtumiaga nikiwa natoka kazin,,kuwa kuna mdada alipakiwa na dereva boda alikuwa anaenda mjimwema,kufika maeneo ya kwa mwingira dereva akabadilisha njia,,dada wa watu kuuliza kulikoni??dereva boda kamjibu "ninapii"maramoja.

Dada kajikalia zake kwa boda unaambiwa dkka moja nyingi kaja mkaka mwingine na kisu mkononi aiseeh kilichompata huyo dada kiukweli kinasikitisha mno mno.

Kwanini nimeyasema haya,,tusiwe tunachukua usafiri usiku mwingi kwa mtu usiye mfaham.

Uaminifu haupo nowadays jaman.wakati mwingine usiku mtu unaomba ukutane na mnyama lkni sio binadamu.ubinadamu unaanza kutoweka taratibu taratibu.Tunakoelekea siko kuzuri kabisa
 
Hayo ni malipo ya tabia zao..wangetulia hayo yangewakuta wap
 
Back
Top Bottom