Taliban Waanza Kukata Vidole Vya Wapiga Kura Afghanistan

mambo ya mswalie mtume hayo,watajuuta kujifunza misimamo mikali...........
 



Swala lako nizuri sana! Talibani wao wako kwao, chakujiuliza zaid ni, hawa wamarikani na wafuasi wake wanataka nini Afghan?
 
Hii JF sasa inaonekana watu hawana uwezo tena wa kufikiri, kuwalaumu talibani na kuwapongeza wamaririkani na wenzake ni ujinga.

Wamerikani na wenzake ndo waliovamia afghan wakati talibani ndo watawala, sasa leo iweje wamerikani wawe watakatifu?

Kama kulaumu dini sio uislam, ni hawa wafuasi wa Paul ndo waliovamia nchi ya waafghani, wakati huo president wao Bush anadai kapewa upeo toka mbinguni kuvamia afghani. tusiwe wavivu wa kufikiri!!!
 
Hivi ndivyo mnavyo fundishwa msikitini. Kweli madrasa ni laana na kansa ya kizazi hiki.

Mkuu unashanga hilo ?Binafsi nashangazwa na Gays kuwa watumishi wakanisa na huongoza hizo misa .upsss wanakenda na wakati .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…