Hii JF sasa inaonekana watu hawana uwezo tena wa kufikiri, kuwalaumu talibani na kuwapongeza wamaririkani na wenzake ni ujinga.
Wamerikani na wenzake ndo waliovamia afghan wakati talibani ndo watawala, sasa leo iweje wamerikani wawe watakatifu?
Kama kulaumu dini sio uislam, ni hawa wafuasi wa Paul ndo waliovamia nchi ya waafghani, wakati huo president wao Bush anadai kapewa upeo toka mbinguni kuvamia afghani. tusiwe wavivu wa kufikiri!!!