escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,472
- 2,867
Kwa mujibu wa takwimu zinazotolewa na wachambuzi mbalimbali hapa nchini zinaonesha Mdaka Mishale huyu hajawahi kuonja utamu wa clean sheet tangu atue jangwani.
Ni sawa na kusema uwepo wa Diarra golini unafanya aliyebet OVER 0.5 kuweka dau la Milioni moja huku anachekelea.
Hivyo kwa haraka haraka ni kwamba kwenye ligi, Yanga tutafungwa magoli yasiyopungua 30 msimu ujao maana tutacheza mechi 30 za ligi.
Ni sawa na kusema uwepo wa Diarra golini unafanya aliyebet OVER 0.5 kuweka dau la Milioni moja huku anachekelea.
Hivyo kwa haraka haraka ni kwamba kwenye ligi, Yanga tutafungwa magoli yasiyopungua 30 msimu ujao maana tutacheza mechi 30 za ligi.