samsonneisha
Member
- Sep 11, 2013
- 5
- 1
kaka pilipili kichaa imenigusa sana na kiukweli nimecheka sana..
Ulipoweka dini ndio umeifanya habari ipunguze uzito!!!!!!!
Otherwise kazi ipo Tanganyika hii!!!
Sikuweka dini kwa bahati mbaya: fedha na dini ndizo zinazotumika kila moja kwa njia na walengwa wake