Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,450
Mwanzoni mwa utawala wa Mkiti Magufuli katika chama chake aliagiza kamati chini ya Dk Bashiru kutafiti Mali za chama huku kukiwa na mashaka ya Mali hizo kuhujumiwa na viongozi waliotangulia zikiwemo pesa.
Kamati ilifanya kazi na taarifa ikakabidhiwa kwa Mkiti ambaye pia aligusia miradi mingi na Mali za CCM mambo mbalimbali ikiwemo fedha kubaki 1b wakati wanachunguza, Mali kuhodhiwa nahata kujinufaisha,
Taarifa ikazimwa na Bashiru akala ukatibu Ili anyamaze nakufuatilia Mali hizo kwa urahisi Baadaye bw lusinde akasema Mali nyingi zilihodhiwa na anaweza kusema mfano ni channel ten na mengino yaliyopo.
Hizo ni tuhuma zilitolewa na Mkiti kurhibitishwa na KATIBU hivyo usahidi upo, mbona TAKUKURU hawakusema wachukue hatua?. Au mpaka wapewe maagizo?
Tukikumbuka Mali nyingi za CCM awali zilijengwa na kumilikiwa na Watz wote lkn vyama vingi vikatugawanya na wakakabidhiwa rasmi, hivyo mali ya wanaTANU na CCM imetapanywa na viongozi na watendaji WA chama hivyo suala LA kuchukuliwa hatua lilenge maslahi ya umma kwani vyama hivi ni vya watu.
TAKUKURU kwaCCM hawahitaji kuhoji Bali kudai taarifa ya kamati ya uhakiki WA Mali za chama iliokabidhiwa kwa Mkiti WA CCM na katibu WA CCM ambaye alikuwa Mkiti WA kamati, TAKUKURU uwanapaswa kutenda haki kwa vyama vyote lasivyo tutawaona wanaajenda binafsi dhidi ya CHADEMA.
Mpaka Leo TAKUKURU wapo Ufipa wakihojihoji juu ya ubadhirifu WA Mali za chama nawasihi nanyi ndugu naomba muwasihi wakimaliza wahamie CCM wawashughulikie kama wanavyowashughulikia Sasa na baadaye CDM ili tujue TAKUKURu IPO kwa kusimamia sheria na maslahi ya umma.
Kamati ilifanya kazi na taarifa ikakabidhiwa kwa Mkiti ambaye pia aligusia miradi mingi na Mali za CCM mambo mbalimbali ikiwemo fedha kubaki 1b wakati wanachunguza, Mali kuhodhiwa nahata kujinufaisha,
Taarifa ikazimwa na Bashiru akala ukatibu Ili anyamaze nakufuatilia Mali hizo kwa urahisi Baadaye bw lusinde akasema Mali nyingi zilihodhiwa na anaweza kusema mfano ni channel ten na mengino yaliyopo.
Hizo ni tuhuma zilitolewa na Mkiti kurhibitishwa na KATIBU hivyo usahidi upo, mbona TAKUKURU hawakusema wachukue hatua?. Au mpaka wapewe maagizo?
Tukikumbuka Mali nyingi za CCM awali zilijengwa na kumilikiwa na Watz wote lkn vyama vingi vikatugawanya na wakakabidhiwa rasmi, hivyo mali ya wanaTANU na CCM imetapanywa na viongozi na watendaji WA chama hivyo suala LA kuchukuliwa hatua lilenge maslahi ya umma kwani vyama hivi ni vya watu.
TAKUKURU kwaCCM hawahitaji kuhoji Bali kudai taarifa ya kamati ya uhakiki WA Mali za chama iliokabidhiwa kwa Mkiti WA CCM na katibu WA CCM ambaye alikuwa Mkiti WA kamati, TAKUKURU uwanapaswa kutenda haki kwa vyama vyote lasivyo tutawaona wanaajenda binafsi dhidi ya CHADEMA.
Mpaka Leo TAKUKURU wapo Ufipa wakihojihoji juu ya ubadhirifu WA Mali za chama nawasihi nanyi ndugu naomba muwasihi wakimaliza wahamie CCM wawashughulikie kama wanavyowashughulikia Sasa na baadaye CDM ili tujue TAKUKURu IPO kwa kusimamia sheria na maslahi ya umma.