GE2025 TAKUKURU Bukombe: Mawakala wa Miamala ya fedha msitumike kupitisha rushwa wakati wa uchaguzi

GE2025 TAKUKURU Bukombe: Mawakala wa Miamala ya fedha msitumike kupitisha rushwa wakati wa uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,410
Reaction score
4,988
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita, imetoa rai kwa mawakala wa miamala ya kifedha kuchukua tahadhari na kufuata sheria na miongozo ya kazi zao, hasa kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, ili kujiepusha kutumiwa na wagombea, wapambe wa wagombea kuwatumia mawakala kutoa rushwa kwa wapiga kura.

 
Back
Top Bottom