Babu wa Kambo
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 559
- 808
Wanafunzi 2,739 mbalimbali hawakujitokeza kuhakikiwa wakati Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ilipofanya shughuli hiyo katika vyuo 26 nchini.
Kaimu Mkurugenzi wa bodi hiyo, Jerry Sabi amesema taarifa hiyo ni ya awali baada ya uchambuzi taarifa za uhakiki wa vyuo 18 kati ya 26 vilivyohakikiwa.
Amesema bodi hiyo imetoa siku saba kuanzia leo kwa wanafunzi ambao hawajahakikiwa kujitokeza ili wahakikiwe vinginevyo wataonekana kuwa ni wanafunzi hewa.
Amesema Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ndicho kinachoongoza kuwa na wanafunzi wengi wasiohakikiwa wanaofikia 763.
Kaimu Mkurugenzi wa bodi hiyo, Jerry Sabi amesema taarifa hiyo ni ya awali baada ya uchambuzi taarifa za uhakiki wa vyuo 18 kati ya 26 vilivyohakikiwa.
Amesema bodi hiyo imetoa siku saba kuanzia leo kwa wanafunzi ambao hawajahakikiwa kujitokeza ili wahakikiwe vinginevyo wataonekana kuwa ni wanafunzi hewa.
Amesema Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ndicho kinachoongoza kuwa na wanafunzi wengi wasiohakikiwa wanaofikia 763.