Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,721
- 45,129
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.
Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.