Taja midfielder aliye fomu kwa sasa kwenye EPL

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,510
44,624
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.

Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
 
Albino anatisha
Screenshot_20191216-124037.jpeg
Screenshot_20191216-124026.jpeg
Screenshot_20191216-124016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.

Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
Tonguy Ndombele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom