A asumpta Member May 18, 2012 46 8 May 18, 2012 #2 Dawa zipo nyingi inategemea na ugonjwa kama ni fungus au bacteria infections,kuwa ongeza maelezo.
Rogie JF-Expert Member Nov 22, 2010 7,581 6,675 May 18, 2012 #3 pole, ila kwani wewe unasumbuliwa na nini hasa mpaka uulize dawa ya ugonjwa wa ngozi wa aina yoyote. Nenda kwa hospital mkuu
pole, ila kwani wewe unasumbuliwa na nini hasa mpaka uulize dawa ya ugonjwa wa ngozi wa aina yoyote. Nenda kwa hospital mkuu
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,571 2,068 May 19, 2012 #4 Funguka Mkuu, ni ugojwa wa namna gani? Uko sehemu gani ya mwili, sio kila dawa ya ngozi inatibu maradhi. Weka wazi tukusaidie. Weka na dalili zake.
Funguka Mkuu, ni ugojwa wa namna gani? Uko sehemu gani ya mwili, sio kila dawa ya ngozi inatibu maradhi. Weka wazi tukusaidie. Weka na dalili zake.
Moyibi JF-Expert Member May 11, 2012 1,054 710 May 29, 2012 Thread starter #5 kwenye miguu inakua kama inatengeneza weusi fulani dats all