Geopolitically, China ziko mbili.
China mojawapo inafahamika rasmi kama People's Republic of China ama kwa kifupi PRC. Hii ndiyo China inayoongozwa na Xi Jinping.
Pia kuna China nyingine ambayo rasmi inafahamika kama Republic of China, kwa kifupi ROC ama kwa jina jingine Taiwan. Hii ndiyo China inayozungumziwa hapa. Pia ndege inayozungumziwa ni ya shirika la ndege la Taiwan ama Republic of China.