Taifa stars: Kila la kheri

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Leo timu yetu itashuka kupepetana na msumbiji,
tuungane pamoja kuisupport na kuiombea ushindi wa kishindo.
Kila la kheri!
 
Leo timu yetu itashuka kupepetana na msumbiji,
tuungane pamoja kuisupport na kuiombea ushindi wa kishindo.
Kila la kheri!

Hata hao the MAMBAZI na wao wanomba MUNGU huyu huyu tnaye mwabudu sisi.
Tmuombe nini kama vitu muhimu amekpa????
Amekupa: 1)MIGUU, 2)MIKONO,3) MACHO YOTE MAWILI,4) AKILI.

Unataka akupe nini sasa??????? Kazi ni kwao wachezaji, maana kilichobakia ni wao ktuonyesha vitu vya ziada kama kweli ni wachezaji wanaltmikia taifa lao. Lakini kama wanacheza tu ilimradi watajbeba wenyewe.
 
Hata hao the MAMBAZI na wao wanomba MUNGU huyu huyu tnaye mwabudu sisi.
Tmuombe nini kama vitu muhimu amekpa????
Amekupa: 1)MIGUU, 2)MIKONO,3) MACHO YOTE MAWILI,4) AKILI.

Unataka akupe nini sasa??????? Kazi ni kwao wachezaji, maana kilichobakia ni wao ktuonyesha vitu vya ziada kama kweli ni wachezaji wanaltmikia taifa lao. Lakini kama wanacheza tu ilimradi watajbeba wenyewe.

100% I Support you.
 
Nyinyi ombeni, mimi nasubiri matokeo ya dua zenu, tukifungwa itakuwa mliomba tufungwe, na tukishinda hali kadhalika.
 
Back
Top Bottom