....tz imebaki wasindikizaji kwenye hii michuano hadi sasa wameamua kutuma wakata viuno ili kutafta attention....yaani hata aibu hatuna!!....wamekosa wacheza mpira wamebaki na wakata viuno....so sad...
Kwa huu mpira ninaohushudia wa Afcon endapo Taifa Stars wangeingia kwenye hii michuano.. Wangeaga huu mpambano mapema sana.. Huku tumebaki na usimba na uyanga..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.