inapigwa magori tu......si makini kabisa!!!
Sasa hapo umejibu au umeuliza? We vipiHakuna chama chenye hata asilimia 30 ya wabunge. CCM ina zaidi ya asilimia 67 ya wabunge.
Rais wa Jamhuri anatokana na CCM.
Sasa hapo sijui kupigwa magoli maana yake ni nini na anayepigwa hayo magoli ni nani!!!
Wamejitahidi kidogo wenzao ilikua 4 bila.inapigwa magori tu......si makini kabisa!!!
Sasa hapo umejibu au umeuliza? We vipi
madudu mnayoyafanya ccm na litimu lenu ni kama utumbo
na mavi.
Bora za bavicha kuliko cha mwendawazimu. Naona jana uganda wameitendea haki kauli ya PINDA na mtakoma.Kweli wewe una akili za bavicha...