Jamani ndugu zangu wapendwa wa JamiiForum.. Nimejaribu kusikia japo kwa ufupi tu na kuamua kuzima TV kwani kauli za Magufuli zimenikwaza!!! Hivi barabara zinazojengwa Tanzania kwa misaada toka kwa wahisani ni bure? Kama si bure ni nani wanatakiliwa kulipa deni kwa wahisani!!! Yeye kasema CCM ndo wanjenga!!!! CCM ni nchi gani na ina wananchi wangapi wanao lipa kodi?
MNIJUZE! Please
MNIJUZE! Please