Taifa hili...............

Taifa ambalo wananchi wake wamerundikana ktk maeneo madogo mijini wakati kuna maeneo makubwa vijijini yako tupu.
 
Kweli taifa letu lina mengi maajabu
 
Taifa linalokinzana na afya ya uzazi kwa kutaka wanafunzi wazae tu hata wakiwa na miaka 12,na wasibugudhiwe.
 
Taifa ambalo walimu ni ombaomba na choka mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…