Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,598
- 3,093
Aisee nikweli kabisa, ,maana mengine yanayofanyika hatujawai ona vpindi vyote vilivyopita ,tunavionaga tu kwa nchi za wenzetu huko majirani kusigina democracy, mungu atuepushe tusifike huko,,,,,maana kuna makesi makubwa mengi yaliyopita tena kwenye mahakama za juu, ila sijawai kuona inatolewa tahadhali kabla ya hukumu, labda ni taratibu mpya lakini hatuwezi juaMkuu ccm kuna kitu inakitafuta kwenye nchi hii .
Ndugu jifunze kukamilisha habari. Hao wabunge hawana majina?Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro leo limetoa tahadhari kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa vikundi vya wanasiasa vitakavyokusanyika kesho kwenye mahakama ya Morogoro kusikiliza hukumu ya keshi ya uchaguzi kwenye majimbo ya Kilombero pamoja na Mrimba ambapo hukumu zote mbili zinatolewa Ijumaa wiki hii.
Wakati Polisi ikisema hivyo, RC nae amesema yoyote ambaye kesho hatakubaliana na uamuzi wa mahakama kuu akakate rufaa na asilete manung'uniko yasiyotarajiwa na wala asifanye mkusanyiko wowote ule kesho Ijumaa .
Kauli za wote hawa wawili binafsi zinanipa shaka kuwa kulikoni waanze na tahadhari za aina hii na kujipanga mapema kuonya wanasiasa kwa hukumu ambayo haijatoka. Je wanajua hukumu ina nini ndani yake hadi wameamua kutoa tahadhari hii?
Kwanini Mahakama isitoe tahadhari badalala yake Polisi na RC ndio watoe tahadhari hii? Kwanini itokee Morogoro tu na haijawahi kutokea mahala pengine popote tahadhari za aina hii?
Nimejiuliza sana na kesho nategemea bao la mkono Mahakamani.
Refa huyo huyo au mwenzake akiwachezesha na mkashinda mnampongeza na kusema hii ndio domokrasia!!!
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro leo limetoa tahadhari kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa vikundi vya wanasiasa vitakavyokusanyika kesho kwenye mahakama ya Morogoro kusikiliza hukumu ya keshi ya uchaguzi kwenye majimbo ya Kilombero pamoja na Mrimba ambapo hukumu zote mbili zinatolewa Ijumaa wiki hii.
Wakati Polisi ikisema hivyo, RC nae amesema yoyote ambaye kesho hatakubaliana na uamuzi wa mahakama kuu akakate rufaa na asilete manung'uniko yasiyotarajiwa na wala asifanye mkusanyiko wowote ule kesho Ijumaa .
Kauli za wote hawa wawili binafsi zinanipa shaka kuwa kulikoni waanze na tahadhari za aina hii na kujipanga mapema kuonya wanasiasa kwa hukumu ambayo haijatoka. Je wanajua hukumu ina nini ndani yake hadi wameamua kutoa tahadhari hii?
Kwanini Mahakama isitoe tahadhari badalala yake Polisi na RC ndio watoe tahadhari hii? Kwanini itokee Morogoro tu na haijawahi kutokea mahala pengine popote tahadhari za aina hii?
Nimejiuliza sana na kesho nategemea bao la mkono Mahakamani.
Weusi wetu ni halali yetu na ndivyo Mungu alivyotuumba. Kama ni dharau alishaifanya Mungu kwa alivyotuumba. Usijihisi kuwa wewe ni bora wakati ulishadharauliwa na Mungu.Acha kutudharau sisi waafrika, kwa sababu zako za kisiasa, rangi nyeusi tumepewa na mungu.
Polisi imefikia mahali inatia aibu .
Haya yote kumbe yalikuwa yanafahamikaHukumu wanayo nahisi haitakuwa nzuri kwa wapenda mabadiliko ndio maana wanajiandaa kutumia nguvu.
Hebu funguka zaidi mkuuYametimia
Miaka 23 ya kupokea ruzuku na msaada kwa ndume wenu EU hata banda hamna
Dodoma convention center imejengwa wanananchiKwanza nikujuze kuwa mm siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila ninachokijua hata ccm haijajenga ofisi mpya, inazodai kuwa ni ofisi zake zilijengwa na wanchi wakati wa chama kimoja, hivyo kuvichagiza vyama vingine kuacha kueneza sera zao na kutumia resources walizonazo kujenga ofisi siyo ajenda mwafaka kwa sasa.ndiyo maana kuna mikoa mingi imeanzishwa lakini majengo yanayotumiwa na ccm ni yaleyale yalikuwapo hivyo pamoja na ccm kupata mgao mkubwa zaidi wa ruzuku bado na wao shida ni ileile, lakini ujue kuendesha upinzani ktk nchi kama hii ni kazi ngumu sana. lakini kwa manufaa ya maendeleo ya nchi lazima upinzani UWEPO.
Dodoma convention center imejengwa wanananchi