Tahadhari unapopeleka simu kwa fundi

Tahadhari unapopeleka simu kwa fundi

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,374
Reaction score
4,087
Simu yangu ilipatwa tatizo la kuto vibrate nikapeleka kwa fundi mazingira niliyo peleka skua na uwenyeji nilikua safarini fundi alitengeneza vizuri tatizo likaisha tena kwa mda mfupi tu, zimepita siku 3 tangu aitengeneze sasa jana nikajalibu kupiga camera ikaleta ukungu hadi nikashtuka nikajalibu kuiweka sawa nilivyo zoea ikawa vilevile nikapeleka kwa fundi akaifungua kakuta camera sio ya cm aina hii # dah jamani mafundi nalia na nyie kwanini msiwe waaminifu? tatizo la vibtate lilikua dogo sana fundi ameniachia tatizo kubwa sana.
 
Mafundi wengi wana uaminifu mdogo sana, ili watengeneze kitu bila ubadhirifu mpaka wewe uwasimamie, bila hivyo utalizwa aisee..
 
Mimi simu yangu ikishaanza kupelekwa kwa funding nakuwa sina imani nayo kabisa natafuta mteja kwa bei ya chini kidogo nauza.
 
Mimi simu yangu ikishaanza kupelekwa kwa funding nakuwa sina imani nayo kabisa natafuta mteja kwa bei ya chini kidogo nauza.

mkuu unakuta katatizo kadogo tu!
 
Simu yangu ilipatwa tatizo la kuto vibrate nikapeleka kwa fundi mazingira niliyo peleka skua na uwenyeji nilikua safarini fundi alitengeneza vizuri tatizo likaisha tena kwa mda mfupi tu, zimepita siku 3 tangu aitengeneze sasa jana nikajalibu kupiga camera ikaleta ukungu hadi nikashtuka nikajalibu kuiweka sawa nilivyo zoea ikawa vilevile nikapeleka kwa fundi akaifungua kakuta camera sio ya cm aina hii # dah jamani mafundi nalia na nyie kwanini msiwe waaminifu? tatizo la vibtate lilikua dogo sana fundi ameniachia tatizo kubwa sana.
Mtu kama wewe lazima uibiwe, simu ina "tatizo" la vibration unapeleka kwa fundi na unadiliki kusema alilitatia ndani ya muda mfupi, hapo unategemea nini??
 
hamna fundi mwaminifu labda kinyozi pekee yake, na yeye mwenyewe ingekuwa tunamuachia kichwa alafu tunarudi baadae mambo yangekuwa yaleyale tu
Duh, ila kwani vichwa vibovu huyenhenezwa na vinyozi?
 
Simu yangu ilipatwa tatizo la kuto vibrate nikapeleka kwa fundi mazingira niliyo peleka skua na uwenyeji nilikua safarini fundi alitengeneza vizuri tatizo likaisha tena kwa mda mfupi tu, zimepita siku 3 tangu aitengeneze sasa jana nikajalibu kupiga camera ikaleta ukungu hadi nikashtuka nikajalibu kuiweka sawa nilivyo zoea ikawa vilevile nikapeleka kwa fundi akaifungua kakuta camera sio ya cm aina hii # dah jamani mafundi nalia na nyie kwanini msiwe waaminifu? tatizo la vibtate lilikua dogo sana fundi ameniachia tatizo kubwa sana.
Mkuu simu yako ni ya aina gani? Na huyo fundi aliyekuambia kamera sio ya ile simu unamuamini kiasi gani? Kwa sababu ninavyojua (japo sina uhakika kwa asilimia 100) ni kuwa huwezi kuchukua kamera ya eg iphone ukaweka kwenye simu aina nyingine eg lumia. Haziingiliani! Labda kama kuna baadhi ya simu zinaweza kuingiliana ... lakini nina shaka kubwa. Sana sana labda uchukua kamera ya simu ubadishe uweke kwenye kamera ya simu aina ile ile!
 
Simu yangu ilipatwa tatizo la kuto vibrate nikapeleka kwa fundi mazingira niliyo peleka skua na uwenyeji nilikua safarini fundi alitengeneza vizuri tatizo likaisha tena kwa mda mfupi tu, zimepita siku 3 tangu aitengeneze sasa jana nikajalibu kupiga camera ikaleta ukungu hadi nikashtuka nikajalibu kuiweka sawa nilivyo zoea ikawa vilevile nikapeleka kwa fundi akaifungua kakuta camera sio ya cm aina hii # dah jamani mafundi nalia na nyie kwanini msiwe waaminifu? tatizo la vibtate lilikua dogo sana fundi ameniachia tatizo kubwa sana.
Fundi simu hawezi kuiba kitu kwenye simu ya mtu kwa vile 97% ya vitu kwenye simu HAVIINGILIANI na simu nyingine sema ikikaa muda mrefu ataiuza na huyo fundi wa 2 ndio kakuibia hela,kwa maana alichokifanya hakiendani na pesa uliyompa. Na hiyo 3% ni mara chache sana kukuta ni camera japo huwa inatokea lakini si kwa kiwango hiki unacho jaribu kutahadharisha kama vile ni janga la kitaifa. Mfano Tecno p3 itaingiliana kila kitu na Tecno p3.
 
hamna fundi mwaminifu labda kinyozi pekee yake, na yeye mwenyewe ingekuwa tunamuachia kichwa alafu tunarudi baadae mambo yangekuwa yaleyale tu
Ndo hivyo tungekuta washatubadilishia chogo na uso,au unawekewa cha mwingine mwenye asili ya upara,chezea mafundi ww.
 
Fundi simu hawezi kuiba kitu kwenye simu ya mtu kwa vile 97% ya vitu kwenye simu HAVIINGILIANI na simu nyingine sema ikikaa muda mrefu ataiuza na huyo fundi wa 2 ndio kakuibia hela,kwa maana alichokifanya hakiendani na pesa uliyompa. Na hiyo 3% ni mara chache sana kukuta ni camera japo huwa inatokea lakini si kwa kiwango hiki unacho jaribu kutahadharisha kama vile ni janga la kitaifa. Mfano Tecno p3 itaingiliana kila kitu na Tecno p3.
mkuu we ni fundi? huyu jamaa wakwanza kaziyake ilikua ni kuweka vibrate nyingine na kutoa iliokuwemo alivyo maliza nikamlipa alidai 15, 000/= tatizo la ukungu lilianzia hapo ina maana alinibadilishia camera yeye wala si mwingine.
 
Back
Top Bottom