Zack
Member
- Jun 22, 2012
- 18
- 3
Tahadhari kwa wale mnaudhuria vikao bubu vya serikali za mtaa,hii ni baada ya mwenyekiti kumpiga mjumbe mmoja mtama kima cha ndama na kumfanya mjumbe huyo kuwahishwa hospitali akiwa ajielewi,hii ni baada ya kupinga mahesabu ya mwy/kiti.
Ushauri; jihami na bodyguard kwenye vikao vya mahesabu.
Ushauri; jihami na bodyguard kwenye vikao vya mahesabu.