Tahadhari kwa Zitto Kabwe

kwa taarifa yako hakuna mwenye muda na nyie mijusi. au mnajipa promo tu humu? mbona thread zenu juu ya zitto haziishi humu? mara mjifanye mnamshauri na upuuzi mwengine kuhusu zitto. nawashauri fanyeni yenu muacheni na zitto afanye yake.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Kumbe adui wa ACT ni CHADEMA si CCM!
 

Kama unajua hivyo kinachokuuma ni nini sasa mkuu au kwa kuwa unajijua kuwa wewe si ACT ila ni mpiga kelele wa CCM !! Sisi ngoma tunaipiga kimyakimya . Kama huyo jamaa yako angekuwa ni mashuhuri sana kuliko CHADEMA ndo angesindikizwa na wafuasi 12 wapya na tena usiku!!? ha ha ha kazi mnayo, baada ya wiki moja ACT itakuwa ndo imezikwa jumla mpaka atakapokuja mgombea urais wenu mtarajiwa.
 

Nimependa uchambuzi wako,ila asikudanganye mtu ZITTO hapendwi kiasi hicho kigoma,na kwa taarifa tu angekuwa na uhakika wa kushinda kaskazini asingeenda kuaga.ACT wakifanya siasa za kushindana na chadema watapotezwa mazima.bora wazingatie ushauri wako
 
Sioni kama kuna namna ya kukifanya chama cha ACT kutokua na mzuto kwa jamii ya Tanzania hasa ukozingatia watu wa nchi hii tulivo na siasa za kufuatafuata...ni wangapi watamfuata ZZK even if amekuwa akikatishwa tamaa pamoja na kutukanwa na wafuasi wa CHADEMA wengine bila kujua wala kufahamu chanzo husika cha yeye kufikia kufanywa hivo
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Kuwa tishio kwa Chadema! sio chama tawala CCM?, This is fuc...ing cheap POLITICS, i thought our main enemy,we oppositions, is CCM,definately i thought wrong!

THIS is totaly poor bloody fuc...ing bongo politics,
 
Yaani hapa ndipo akili zetu zinapooneka zina hitilafu,ACT ni chama cha upinzani au tawi la CCM???? unapima ubavu na CDM au CCM hebu fikiria mara mbili kabla hujaleta mada hapa JF
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...
 
Mashaka yangu Act ni hiyo nyota mliyoweka kwenye kadi zenu na kwenye bendera!hiyo ni nembo na utambulisho wa dini ya kiislamu.Nashauri mbadili hyo nyota ondoeni mtapata wengi

Mkuu ndo maana wanajipa moyo wa eti wanaenda kuanzia mkoa wa pwani.
 
mtasubiri sana. halafu nani kakuambia kuwa mimi ni ccm? nitake radhi tafadhali.
 
act itakuwa kimbilio la wengi
jambo kama hili ndilo lililoiangusha kanu
kwa siasa za kiswahili mpaka sasa hakuna aijuae kesho
ngumu sana kutabiri
pengine nchi itaangukia mikononi
kwa watu tusiowafahamu.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Unaanzisha chama kwa kutegemea wafadhili? Akili mufilisi kama za jk anayeamini Tz itaendelea kwa kutembeza bakuli.
 
Inaonekana unatumiwa na CCM, Kwa nini useme ACT itakuwa tishio kwa CHADEMA? Unatakiwa kujenga hoja. Kwani kuna mashindano ya vyama?
Ipo hivi mkuu, ACT itakuja kuwa tishio kwa CDM kama chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania Bara, na vivo hivyo kwa chama tawala CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…