Tahadhari kwa wanao root simu

Tahadhari kwa wanao root simu

SangaweJr

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
2,990
Reaction score
2,669
Naomba kutoa tahadhari kwa anae tarajia kuroot simu yake kwa kutumia Framaroot.

1--> Hakikisha simu yako ni original mfano kama ni tecno basi iwe tecno original sio copy,na nyinginezo zisiwe copy.

2-- Hakikisha simu yako ipo ktk orodha ya simu zinazo weza kuwa rooted na hiyo framaroot kwa kutembelea site yao www.framaroot.net.

3- kama umejaribu mara moja ikagoma,, ushauri wangu usijaribu tena.
Mimi nimmoja wa wahanga kutokana na uzi mmoja ulitupiwa jinsi ya kuroot simu kwa framaroot

Nilifanya hivyo kwa huawei G610, kilichotokea baada ya kumaliza hatua zote simu imekuwa ni kuzima na kuwaka tu.

Hapa najipanga kwa gharama za ku flash if possible.
 
Naomba kutoa tahadhari kwa anae tarajia kuroot simu yake kwa kutumia Framaroot.

1--> Hakikisha simu yako ni original mfano kama ni tecno basi iwe tecno original sio copy,na nyinginezo zisiwe copy.

2-- Hakikisha simu yako ipo ktk orodha ya simu zinazo weza kuwa rooted na hiyo framaroot kwa kutembelea site yao www.framaroot.net.

3- kama umejaribu mara moja ikagoma,, ushauri wangu usijaribu tena.
Mimi nimmoja wa wahanga kutokana na uzi mmoja ulitupiwa jinsi ya kuroot simu kwa framaroot

Nilifanya hivyo kwa huawei G610, kilichotokea baada ya kumaliza hatua zote simu imekuwa ni kuzima na kuwaka tu.

Hapa najipanga kwa gharama za ku flash if possible.

Unajianda kwa gharama wakati C6 kashaweka njia rahisi ya kusolve matatizo kama hayo
 
Last edited by a moderator:
But wewe ni mtu wa pili kuzungumzia hii huawei G 610 Kuwa zipo fake nipe sifa zake tofauti na original
 
Kuigundua kuwa ni fake kwa nje
1-funua mfuniko kisha angalia nati zilizotumika kufungia kama ni za kuchongwa poa ila kama ni za + hiyo ni fake

2- Washa kisha angalia quality ya screen yake (mng'ao) kama ina mawingu hiyo nicopy.

3- sehemu inapo ingia line 1 pawe na haya maneno WCDMA/GSM ila ikiwa hivi SCDMA/GSM haita shika 3G labda uwe china.

4- Chaja yake iwe inaingia USB cable kwa juu, sio kwa pembeni.

5- pale inapo kaa betri iwe hivi HUAWEI Ascend G610-U20 au G610-U00 pamoja na vigezo tajwa hapo juu.ikiwa Huawei Ascend G610-T11 au G610-T00 hiyo ndio niliyo pata nayo majanga na haikamati 3G hapa Tz.
 
Kwa hali hiyo HUAWEI G610-U20 na HUAWEI G610-U00 hizi ndizo original pamoja na vigezo tajwa hapo juu? niliiona yenye U20 sijaangalia vigezo hivyo vingine nitakufeed back baadae niichunguze zaidi
 
Kwa hali hiyo HUAWEI G610-U20 na HUAWEI G610-U00 hizi ndizo original pamoja na vigezo tajwa hapo juu? niliiona yenye U20 sijaangalia vigezo hivyo vingine nitakufeed back baadae niichunguze zaidi

Poa mkuu hebu fanya hivyo, uje utupe mrejesho.
 
Poa mwanza zipo simu nyingi za huawei mpaka nimeshangaa mpaka G 700 Nimeikuta huku nataka leo niangalie then nitatupia humu
 
Jaman mi naombeni msaada sielewi maana ya kuroot simu ni kufanyaje na faida yake.
 
Jaman mi naombeni msaada sielewi maana ya kuroot simu ni kufanyaje na faida yake.

Mbona maelekezo yameshatolewa sana humu JF au google hilo neno root utapata maelekezo ya kina.
 
thanx nimeupita huo uzi daaah... Inahitaji utaalam/mtoa mada ili kufanikisha maana kuna maswali yanaibuka kichwani bila majibu ktk hizo hatua.

mm nilielewa na nilitaka kujaribu ila firmware ya tecno p3(simu yangu ya majaribio) kupata firmware ndo inaniwia ngumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom