MKUUU,utaka kumaanisha kua ukisha jua dhumuni lako la kuishi hupaswi kutilia mashaka baadhi ya mabo usiyo yaelewa vizuri?,kama ndivyo duniani watu wa aina yenu mko wachache sana na ninadhani ni robot tuu ndo wanaweza hiyo hali ya kutokua na mashaka na jambo lolote.nawaza kwa sauti
MKUUU,utaka kumaanisha kua ukisha jua dhumuni lako la kuishi hupaswi kutilia mashaka baadhi ya mabo usiyo yaelewa vizuri?,kama ndivyo duniani watu wa aina yenu mko wachache sana na ninadhani ni robot tuu ndo wanaweza hiyo hali ya kutokua na mashaka na jambo lolote.nawaza kwa sauti
Dunia ina mambo mwengi, Utatilia mashaka vitu vingapi?? Na kwanini uchague kuwa na maisha yenye mashaka,,?? Just play your role then Go away, wapo wengi waliokuwepo na wakapita, Live accordingly
Dunia ina mambo mwengi, Utatilia mashaka vitu vingapi?? Na kwanini uchague kuwa na maisha yenye mashaka,,?? Just play your role then Go away, wapo wengi waliokuwepo na wakapita, Live accordingly
Ngoja nianzie kwenye kanuni ya kupanda na kuvuna. Ukipanda mema(ukiwaza mema), pia utavuna mema.
Ikiwa unapanda mema ktk kichwa/mawazo yako. Hiyo hali ya kuwa na wasiwasi wa ainayeyote hutokuwanayo.
Ngoja nianzie kwenye kanuni ya kupanda na kuvuna. Ukipanda mema(ukiwaza mema), pia utavuna mema.
Ikiwa unapanda mema ktk kichwa/mawazo yako. Hiyo hali ya kuwa na wasiwasi wa ainayeyote hutokuwanayo.
hata katika kupanda huanzi tu kupanda lazima ujue unachokipanda na wapi unakipanda,kitendo cha kujua nini kinapandwa na wapi kinapandwa ndo wasiwasi yenyewe yaani kujiridhisha kwanza kabla ya kupanda.