Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,668
- 96,523
Hili JLW kwann sijui walilitoa, walirudisheKila baada ya miezi kadhaa kuna jambo linaibuka, hatari sana wakuu. Huko siasani matusi na vijembe, huku nako hakuna amani. Mods fanyeni utaratibu wa JLW tu sasa😁
Hahahahaha,endelea na mishe zako humu ,utaumiza kichwa bure, wanajuanaNyie jf,[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15],
╮(╯▽╰)╭╮(╯▽╰)╭╮(╯▽╰)╭
Hii kali....Si uzi wa kutumia akili kubwa ni sehemu ya burudani tu!..
Mtag mtu kisha andika sifa yake moja tu jinsi unavyomfikiria kutokana na vile anavyoitumia I'd yake lkn kwa kufuata sheria za jf isiwe uwanja wa matusi au kurushiana visirani..😅
Mshana Jr
Mganga mashuhuri..!
Kasie a.k.a matata
Bibi mkorofi kitandani..😅
Kiranga
Mtu mbishi tu!
Mzee Mwanakijiji
Hekima..
Chizi Maarifa
Jina linajieleza..😅
Shunie
Mdada mkarimu..
MLEVi Mmoja
Mfano wa waliokuwa wanakula ada shuleni..😂
GuDume
Mtu anaezeeka vibaya..😅
Saint Anne
Kondoo wa bwana..
lliedie
Kabinti kapolee..🤗
Depal
Mwenye misimamo lkn tatanishi..😜
Miss Natafuta
Kamati ya kudang..a😎🙈
Don Nalimison
Mtu mwenye malalamiko😂
Kiduku Lilo
Ile hela tuma kwenye namba hii..😂
katoto kazuri
Anajifunza umbea..😅
Money Penny
Kamati ya michambo na udaku..🏃
List iendelee..
Kuna lile pdf hukuliona, tukaambiwa tulimkula binti mmoja humu, futseke zao wanaozusha upumbavu!Hili ni sakata la pili kutokea na yote yanafanana
Ikiwa hakuna mdada aliyejifunza kitu tusishangae wengine tena wakaja kudharirishwa humu
Maana wadada ndio waathirika wakubwa wa haya matukio
Watu kama hao dawa Yao ni kuwajibu tu ndio nimemkula so what?Kuna lile pdf hukuliona, tukaambiwa tulimkula binti mmoja humu, futseke zao wanaozusha upumbavu!
Hahahaha,pale ndio nilipoona watu humu wanadanganyana, sasa lile PDF naambiwa walipasiana hadi kwenye wasap zaoKuna lile pdf hukuliona, tukaambiwa tulimkula binti mmoja humu, futseke zao wanaozusha upumbavu!
Hahahahaha,,utakua unawaongezea uongo wa kuongeaWatu kama hao dawa Yao ni kuwajibu tu ndio nimemkula so what?
Unajua nashangaa, kukulana kumekuwa hot topic humu. Hivi nikikubaliana na mtu humu tukaanzisha mahusiano watu wanaumia nini? Itakuwa hatuna mambo ya msingi kujadili..Watu kama hao dawa Yao ni kuwajibu tu ndio nimemkula so what?
Au majority humu bado ni immature?Unajua nashangaa, kukulana kumekuwa hot topic humu. Hivi nikikubaliana na mtu humu tukaanzisha mahusiano watu wanaumia nini? Itakuwa hatuna mambo ya msingi kujadili..
🤣🤣🤣🤣Sasa hapo wataanza kutunga huwa mnakutana wapi?Hahahahaha,,utakua unawaongezea uongo wa kuongea
Hahahahahaha, dah,kuna watu wana kazi🤣🤣🤣🤣Sasa hapo wataanza kutunga huwa mnakutana wapi?
wakikua wataachaHahahahahaha, dah,kuna watu wana kazi
Hahahahaha, ila pia kuna kakikundi kanapenda hizi storywakikua wataacha
Ofcoz hata Mimi zinaniburudisha hasa reaction za watuhumiwa🤣🤣🤣🤣Hahahahaha, ila pia kuna kakikundi kanapenda hizi story
Hilo pdf sikuliona mkuu, ni upumbavu wa hali ya juu. Utoto mwingiKuna lile pdf hukuliona, tukaambiwa tulimkula binti mmoja humu, futseke zao wanaozusha upumbavu!
Sana yaani.Hilo pdf sikuliona mkuu, ni upumbavu wa hali ya juu. Utoto mwingi
Tatizo kubwa lilianza pale vikundi vilipoanzishwaHahahahaha, ila pia kuna kakikundi kanapenda hizi story
Acha uogaa weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF mbna nyepesii sana.