Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
Aisee we jamaa ni mbishiKwa kufichiana uovu hamjambo kwa hili liko wazi hivi mnajitia hamulioni? Eti mzushi star TV imeonyesha mwanzo mwisho TAG wakiwa na kofia ibadani .Walokole wa TAG wengi je ni umaskini mwingi kuwa hamna TV au ? .Kifupi ndio hivyo Leo TAG watu walikuwa ibadani na kofia vichwani Kuanzia Askofu mkuu mheshimiwa Barnabas Mtokambali.Ninachoweza kusema kanisa limebadilika Sana Katika miaka hii 80 ya toka lianzishwe .Limeenda kusiko.Wangefufuka waanzilishi was TAG wakute watu wako ibadani na vikofia kama waislamu wangewatandika makofi.
Sent using Jamii Forums mobile app