YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Tanzania Assemblies of God Naona wako ibadani kwenye uwanja wa shehe Amri Abeid Arusha ibada inaendelea inaonyeshwa live Star TV Hadi Askofu mkuu wa TAG katandika kofia kichwani ila mzungu anayehubiri yeye naona kagoma kuivaa akijua Yuko ibadani.Lakini viongozi wengi wa TAG naona wamelamba kofia .Hivi TAG wao nao huvaa kofia ibadani Kama waislamu?