tamu 3
Member
- Dec 11, 2024
- 88
- 216
Mwanaume ukiwa na pesa hata kama ni Mzee utakula chochote unachohitaji
Mwanaume ukiona unalazimika kujieleza sana na hata unapojieleza unaonekana kituko tu au unaonekana unaleta fujo kwenye kikao cha familia/ukoo na hata unapojieleza wala hueleweki ujue bado uko mbali sana na pesa.
Wenye pesa hawahitaji kujieleza wala hawana maelezo mengi, na bado wanaeleweka tu.
Kwenye kikao cha familia wewe kama huna pesa na hata kama wewe ni mkubwa toa maelezo utoavyo, utasikia hebu sasa kaa chini tumsikilize mdogo wako kutoka Wang'ing'ombe anasemaje.
Kwenye misiba na sherehe kama huna pesa utachanja Kuni, utatafuta viti na turubali.
Kama unadhani Mwenyekiti anawasimanga wasio na pesa fanya utafiti mdogo kwenye vikao vya familia, dili za biashara, harusi, misiba.
Mwenyekiti wenu sina uhakika kama hali hii pia ipo kwenye kutongoza.
Anyway, mwanaume pamoja na mambo mengine tafuta pesa, upunguze kujieleza kwenye vikao vya ukoo na familia. Tafuta pesa izungumze kwa niaba yako, wanasema money talk, tafuta pesa ikurahisishie kupata pesa, tafuta pesa ikukamilishie deal zako, tafuta pesa nayo pesa itakutafutia na kukupa unachokitaka.
Tafuta pesa hata ukifa ukiwa umeoa wanawake 6 hilo kanisa lako linalopiga vita ndoa za wake wengi watakuja kukuzika kwa heshima zote. Pesa inapiga upofu hata Sheria za kanisa.
Nasema uongo ndugu zangu wanaume?
Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Mwanaume ukiona unalazimika kujieleza sana na hata unapojieleza unaonekana kituko tu au unaonekana unaleta fujo kwenye kikao cha familia/ukoo na hata unapojieleza wala hueleweki ujue bado uko mbali sana na pesa.
Wenye pesa hawahitaji kujieleza wala hawana maelezo mengi, na bado wanaeleweka tu.
Kwenye kikao cha familia wewe kama huna pesa na hata kama wewe ni mkubwa toa maelezo utoavyo, utasikia hebu sasa kaa chini tumsikilize mdogo wako kutoka Wang'ing'ombe anasemaje.
Kwenye misiba na sherehe kama huna pesa utachanja Kuni, utatafuta viti na turubali.
Kama unadhani Mwenyekiti anawasimanga wasio na pesa fanya utafiti mdogo kwenye vikao vya familia, dili za biashara, harusi, misiba.
Mwenyekiti wenu sina uhakika kama hali hii pia ipo kwenye kutongoza.
Anyway, mwanaume pamoja na mambo mengine tafuta pesa, upunguze kujieleza kwenye vikao vya ukoo na familia. Tafuta pesa izungumze kwa niaba yako, wanasema money talk, tafuta pesa ikurahisishie kupata pesa, tafuta pesa ikukamilishie deal zako, tafuta pesa nayo pesa itakutafutia na kukupa unachokitaka.
Tafuta pesa hata ukifa ukiwa umeoa wanawake 6 hilo kanisa lako linalopiga vita ndoa za wake wengi watakuja kukuzika kwa heshima zote. Pesa inapiga upofu hata Sheria za kanisa.
Nasema uongo ndugu zangu wanaume?
Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti