Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Ndugu zangu wana JF,
Kwa makini nimekuwa na tafakari ya matokeo ya (Kura ya amoni) referendum Zanzibar na kupata maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Kwa matokeo haya; naamini yataleta mgongano wa uendeshaji wa nchi, ikizingatiwa Serikali ya CCM imekuwa ikisistiza kuwa ZNZ si nchi bali sehemu ya JMT!! Ni wazi matokeo yanaelezea hali ya uchaguzi wa rais ZNZ baadaye mwaka huu.
Nina maswali yanayonisumbua;
Kwa makini nimekuwa na tafakari ya matokeo ya (Kura ya amoni) referendum Zanzibar na kupata maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Kwa matokeo haya; naamini yataleta mgongano wa uendeshaji wa nchi, ikizingatiwa Serikali ya CCM imekuwa ikisistiza kuwa ZNZ si nchi bali sehemu ya JMT!! Ni wazi matokeo yanaelezea hali ya uchaguzi wa rais ZNZ baadaye mwaka huu.
Nina maswali yanayonisumbua;
- Imekuwaje CCM waasiibe kura ili kuendeleza uongozi wao?
- Kikwete anategemea nini baada ya matokeo Oct 2010?
- Inawezekana JMK ameamua kuisambaratisha CCM kwa fair elections?