*UKUTA HOJA YA MSINGI ILA.JE ITAFANIKIWA*
NA ASAPH S KAGINA
leo tarehe 26/7/2016
chadema imetangaza.oparation iitwayo UKUTA
kwa maazimio ya kukataa kinachoitwa udikiteta wa raisi aliyeko madarakani kwa hoja za
1Ukandamizaji wa vyama vya siasa
2:Kutumia spika kulibana bunge
3matumizi mabaya ya pesa kinyume na.kanuni
4 Manyanyaso na.kuingiliwa kwa mhimili wa mahakama 5 namna.ukusanyaji kodi unavyoendeshwa
Ni hoja.za.msingi kwa.ustawi wa jamii tunahitaji utawala wa sheria, kanuni na.taratibu
Na maendeleo.ya nchi hupimwa.si.kwa GDP peke yake pia kwa ukuaji.wa.demokrasia
Huduma.za jamii na uhuru wa maoni
Sababu za kuanzisha UKUTA zina mashiko
Ila kuna
Maswali ya kujiuliza
1 Ni kwa mda.gani.wataendesha hii oparationi ?
2 watapimaje kama.wamefanikiwa ?
3 Je wananchi watahusika je ?
4 : Mwananchi wa kawaida atanufaika nini na UKUTA?
5 Je wamejipanga je kukabiliana na tamko la kukataza siasa bila ya kusababisha matatizo kwa wanyonge watakao wafuata?
4 Je ni kwa nini wamekaa.wao kama.wao na bila.kushirikisha vyama.washiriki wao
Yaani ukawa ?
Hayo maswali yananirudisha kwenye oparation zilizowahi kifanywa.na chadema
Kama oparation sangara
M4c Nk
Ambazo hazikufika.tamati ila.ziliishia ju kwa juu
Bila kuwa.na.tathimini
Je na hii haitakuwa kama.za kwanza
Ambazo hata hivyo zilikua na.nguvu kwa sababu ya slaa
Baada ya hii oparation nini.cha zaidi
Je
Turudi kutawaliwa.kama.utawala.wa kikwete?
Baada ya maswali hayo
Mm naona badala.ya kuja na UKUTA
Wangepambana na oparation ya kwanza.ya UKAWA
Ambayo.ndilo.siruhisho la kudumu.la.haya.yoote na.lina uhusika wa jamii moja.kwa moja
Siasa za matukio.kama hizi zitakuwa na wakati mgumu kuliko siasa za hoja
Na kama wamechagua UKUTA
Basi waunganishe na UKAWA kwa mkitadha wa kukaa na.kuweka.maazimio.ya.pamoja
Na siyo kuwapa taarifa kama.vile wao hawana mikakati ila.wanasubiri chadema. pia
Na UKUTA usiishie mbele ya camera na keyboard za simu bali ufike chini na uwe na.mipango mikakati
Siyo maono yasiyo na mkakati
*By kagina asaph s.*
NA ASAPH S KAGINA
leo tarehe 26/7/2016
chadema imetangaza.oparation iitwayo UKUTA
kwa maazimio ya kukataa kinachoitwa udikiteta wa raisi aliyeko madarakani kwa hoja za
1Ukandamizaji wa vyama vya siasa
2:Kutumia spika kulibana bunge
3matumizi mabaya ya pesa kinyume na.kanuni
4 Manyanyaso na.kuingiliwa kwa mhimili wa mahakama 5 namna.ukusanyaji kodi unavyoendeshwa
Ni hoja.za.msingi kwa.ustawi wa jamii tunahitaji utawala wa sheria, kanuni na.taratibu
Na maendeleo.ya nchi hupimwa.si.kwa GDP peke yake pia kwa ukuaji.wa.demokrasia
Huduma.za jamii na uhuru wa maoni
Sababu za kuanzisha UKUTA zina mashiko
Ila kuna
Maswali ya kujiuliza
1 Ni kwa mda.gani.wataendesha hii oparationi ?
2 watapimaje kama.wamefanikiwa ?
3 Je wananchi watahusika je ?
4 : Mwananchi wa kawaida atanufaika nini na UKUTA?
5 Je wamejipanga je kukabiliana na tamko la kukataza siasa bila ya kusababisha matatizo kwa wanyonge watakao wafuata?
4 Je ni kwa nini wamekaa.wao kama.wao na bila.kushirikisha vyama.washiriki wao
Yaani ukawa ?
Hayo maswali yananirudisha kwenye oparation zilizowahi kifanywa.na chadema
Kama oparation sangara
M4c Nk
Ambazo hazikufika.tamati ila.ziliishia ju kwa juu
Bila kuwa.na.tathimini
Je na hii haitakuwa kama.za kwanza
Ambazo hata hivyo zilikua na.nguvu kwa sababu ya slaa
Baada ya hii oparation nini.cha zaidi
Je
Turudi kutawaliwa.kama.utawala.wa kikwete?
Baada ya maswali hayo
Mm naona badala.ya kuja na UKUTA
Wangepambana na oparation ya kwanza.ya UKAWA
Ambayo.ndilo.siruhisho la kudumu.la.haya.yoote na.lina uhusika wa jamii moja.kwa moja
Siasa za matukio.kama hizi zitakuwa na wakati mgumu kuliko siasa za hoja
Na kama wamechagua UKUTA
Basi waunganishe na UKAWA kwa mkitadha wa kukaa na.kuweka.maazimio.ya.pamoja
Na siyo kuwapa taarifa kama.vile wao hawana mikakati ila.wanasubiri chadema. pia
Na UKUTA usiishie mbele ya camera na keyboard za simu bali ufike chini na uwe na.mipango mikakati
Siyo maono yasiyo na mkakati
*By kagina asaph s.*