Swali. Je ikiwaka pale kwenye desktop unapowashia pana taa ya signal inatakiwa ikiwaka inaanza orange halafu inakuwa kijani. Sema kwako ikoje. Hii haijalishi monitor/screen ipo au haipo. Inatakiw iwe kijani . Leta mrejesho hapa.
Kujua kama ishu iko kwenye monitor au processor unit, jaribu kutumia monitor nyingine.
Ikifanya kazi basi ni ishi ya monitor au vga yako kama nayo haiwaki basi ni ishu ya kwenye processing unit..
Swali. Je ikiwaka pale kwenye desktop unapowashia pana taa ya signal inatakiwa ikiwaka inaanza orange halafu inakuwa kijani. Sema kwako ikoje. Hii haijalishi monitor/screen ipo au haipo. Inatakiw iwe kijani . Leta mrejesho hapa.
Kujua kama ishu iko kwenye monitor au processor unit, jaribu kutumia monitor nyingine.
Ikifanya kazi basi ni ishi ya monitor au vga yako kama nayo haiwaki basi ni ishu ya kwenye processing unit..