buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,287
Salaam wakuu.
Binafsi sifurahishwi na nyuzi mpya mpya humu kutoka kwa ndugu zangu watanzania wakifanya mzaha hatua za serikali ya Kenya juu ya kuzuia kusambaa kwa Corona.
Hata kama Tanzania kuna unafuu hatupaswi kuwacheka na kuleta ligi za kukebehi juhudi zao. Muda huu ni wa kuwapa pole na kuwatia moyo pengine washauri.
Hao ni jirani zetu ugonjwa ukiwa mkali tutauonja tu.
Tafadhali ndugu Joto la Jiwe, Geza Ulole punguza kebehi.
Poleni wakenya na kesi kupaa.
Pambana ipasavyo ila sio kwa kupanic.
Proudly Tanzanian
Binafsi sifurahishwi na nyuzi mpya mpya humu kutoka kwa ndugu zangu watanzania wakifanya mzaha hatua za serikali ya Kenya juu ya kuzuia kusambaa kwa Corona.
Hata kama Tanzania kuna unafuu hatupaswi kuwacheka na kuleta ligi za kukebehi juhudi zao. Muda huu ni wa kuwapa pole na kuwatia moyo pengine washauri.
Hao ni jirani zetu ugonjwa ukiwa mkali tutauonja tu.
Tafadhali ndugu Joto la Jiwe, Geza Ulole punguza kebehi.
Poleni wakenya na kesi kupaa.
Pambana ipasavyo ila sio kwa kupanic.
Proudly Tanzanian