natumain mu wazima kwa wagonjwa polen
nilikua na mahusiano na kaka mmoja kifupi tulipenda bt baada ya kupata ujauzito tukawa hatuelewan bila hata sababu ugomvi kila siku hata usiokua na maana hatukua tunaishi pamoja tulikua tunaishi mikoa tofauti
kama wiki 3 zimepita mdogo wake katusululisha yameisha na nimeamua nikae nae mpaka hapo nitakapojifungua nitaona cha kufanya ujauzito una miez 5
point
tangu nimefika mwenzangu hana kabisa mapenzi na mimi, mapenzi yamepungua kabisa kwangu tangu nimepata ujauzito napenda kula udongo jana kauona kasema SITAKI UDONGO NYUMBANI NDANI KWANGU.
nimejaribu kumuelewesha unatokea nataman tu hata mimi siipendi hanielewi kabisa inshort hana mapenzi na mimi
wanajamvi nifanyeje nimrudishe katika hali yake ya kawaida??? nifanyeje ili upendo urudi najitahidi sana kumuonyesha nampenda namjali bt hayumo kabisa niongeze wapi ndugu zanguni????
SAMAHANI KWA KUWACHOSHA TUVUMILIANE TU JAMANI.
nilikua na mahusiano na kaka mmoja kifupi tulipenda bt baada ya kupata ujauzito tukawa hatuelewan bila hata sababu ugomvi kila siku hata usiokua na maana hatukua tunaishi pamoja tulikua tunaishi mikoa tofauti
kama wiki 3 zimepita mdogo wake katusululisha yameisha na nimeamua nikae nae mpaka hapo nitakapojifungua nitaona cha kufanya ujauzito una miez 5
point
tangu nimefika mwenzangu hana kabisa mapenzi na mimi, mapenzi yamepungua kabisa kwangu tangu nimepata ujauzito napenda kula udongo jana kauona kasema SITAKI UDONGO NYUMBANI NDANI KWANGU.
nimejaribu kumuelewesha unatokea nataman tu hata mimi siipendi hanielewi kabisa inshort hana mapenzi na mimi
wanajamvi nifanyeje nimrudishe katika hali yake ya kawaida??? nifanyeje ili upendo urudi najitahidi sana kumuonyesha nampenda namjali bt hayumo kabisa niongeze wapi ndugu zanguni????
SAMAHANI KWA KUWACHOSHA TUVUMILIANE TU JAMANI.