Sasa ww umekosea kwasababu hujasema tangia mwanzoni kuwa upo kwenye uhusiano na mzazi mwenzio na mnaishi pamoja!Sasa ulitaka tukushauri nini umuache huyo ulonae uende kwa unaemtamani?Naomba nikuulize kipi kilichokufanya ukazaa na huyo uliyenae ambacho unakiona kinakosekana sasa? Utakuja kuruka mkojo ukanyage mavi shaurizo!