The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
kama shibuda ni bakuli tupu kabisa. watanzania hatuhitaji misemo wala nahau zake. kama anataka nahau aende kwenye chama cha mwana-nahau mwenzake kikwete wakapige porojo za misemo:
ukitaka kula sharti uliwe.
tunajenga nyumba moja ya nini kugombea fito.
sijui nini na nini....
hatutaki.
Watanzania tunaotaka mabadiliko tupo. Tunahitaji sapoti yenu viongozi wetu.
Keep it up Zitto.
ukitaka kula sharti uliwe.
tunajenga nyumba moja ya nini kugombea fito.
sijui nini na nini....
hatutaki.
Watanzania tunaotaka mabadiliko tupo. Tunahitaji sapoti yenu viongozi wetu.
Keep it up Zitto.