Last sentinel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 267
- 108
Chonde chonde usije tafutiwa internship na TAESA kwenye malipo ni wazungushaji na wanababaisha.
ni wezi alaf matapel😅😅kwa huo mwaka unaeza lipwa mala 2 izo zingine sahau
i know bt mkataba unasema apewe hela za usafir na kujikimu mkuu,mkataba ndo unavyosema so u mean intern halipw chochote,umeckia wap intern halipwi?Internship lengo kuu ni kupata ujuzi na uzoefu. Usitangulize pesa mbele ila hakikisha unapata experience na skill set muhimu kwa ajili ya harakati zako huko mbeleni.
i know bt mkataba unasema apewe hela za usafir na kujikimu mkuu,mkataba ndo unavyosema so u mean intern halipw chochote,umeckia wap intern halipwi?
mkuu nakuelewa sana kiongozi,nilifuatlia utaratbu wote nilikuw mimi na wenzangu bt hatukupewa haki ya malipo,ikafka kipind hadi wakablock namba zetu mm nikaona sawa ts fyn acha wanidhulumuMkuu, nashauri kama umeona hutendewi haki ni vema ukaachana nao ukaendelea na shughuli zako nyingine. Si vema kupoteza muda sehemu ambayo haki yako haiheshimiwi.