Tadownload wapi wifi hacker

Tadownload wapi wifi hacker

jax fikrini

Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
46
Reaction score
6
Jamani ni kweli ipo app inayoweza ku hack wifi password.mbona zote nazodownload ni za kizush tu ipi ya ukweli. Natumia android 4.0.4
 
Hata mm huwa najiuliza sana suala hilo kama yupo atusaidie Kwa pamoja
 
zinahack rooter za zamani labda pitia pitia ofisi za serikali unaweza bahatika kuhack mojawapo
 
Jamani ni kweli ipo app inayoweza ku hack wifi password.mbona zote nazodownload ni za kizush tu ipi ya ukweli. Natumia android 4.0.4

kuna Wi-Fi zina captive portal yaani ni free wi-fi lkn uki-load page zinakuomba userID na pswd au uweke credit card yako wakukate hela afu ndi uload page sana sana ktk Airport na Mahotel makubwa hapa bongo
Hii app mm ninapoishi ni karibu na Chuo na wana Wi-Fi ya hivi hivo ktk PC yangu natumia Ultrasurf ku-bypass na ktk Android natumia Krejzi WiFi - DNS tunnel

Pia kuna Hii Wi-Fi hapa Town inaitwa ADN pia nayo kipindi nakaa masaki ilikuwa iko free lkn una-open Homepage tu yao afu wanakuomba ulogin acc yako

https://play.google.com/store/apps/details?id=si.krejzi.sexywifi&hl=en
 
Jamani ni kweli ipo app inayoweza ku hack wifi password.mbona zote nazodownload ni za kizush tu ipi ya ukweli. Natumia android 4.0.4
Mkuu acha kujisumbua na hizo apps wifi hacking za play store, most of them a prank apps, nakushauri soma kwanza maelezo kabla hujafanya download yoyote
 
Ku hack wifi ni kazi hasa hizi wifi za siku hizi amabzo zina extra security. Unaitaji kuwa updated na tools za kuhack na hata hivyo process in ndefu.

Sent from my SM-N900 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom