fredito13
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 146
Haya ni baadhi ya mambo ambayo wakati tulikua tulikua tunaamini ni mwiko kuyafanya! Yaani ukifanya lazima kitu kibaya kikupate (imani)
1. Mvulana ukila kwenye sufuria utaota manyonyo
2. Ukimruka mwenzio anakua mfupi
3. Ukimchungulia mkubwa, unapofuka macho.
4. Ukila kitu cha mdomoni (chenye mate), unapata majipu!
Watoto wa siku hizi hawazijui hizi. Wadau ongezeni zingine.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
1. Mvulana ukila kwenye sufuria utaota manyonyo
2. Ukimruka mwenzio anakua mfupi
3. Ukimchungulia mkubwa, unapofuka macho.
4. Ukila kitu cha mdomoni (chenye mate), unapata majipu!
Watoto wa siku hizi hawazijui hizi. Wadau ongezeni zingine.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums