Halafu Kama Kawaida Yake Jamaa Huwa Akinusa Tu Kuna Matatizo Nchini Kwake ANASEPA Zake Na Sasa Wananchi Wanaumi Yeye Anakula Bata New York Na Atakuwa Huko Kwa Siku Takriban 4 Net. Kweli Watanzania TULIBUGI 2005 - 2015 Tujifunzeni!!!!!!!
Halafu Kama Kawaida Yake Jamaa Huwa Akinusa Tu Kuna Matatizo Nchini Kwake ANASEPA Zake Na Sasa Wananchi Wanaumi Yeye Anakula Bata New York Na Atakuwa Huko Kwa Siku Takriban 4 Net. Kweli Watanzania TULIBUGI 2005 - 2015 Tujifunzeni!!!!!!!
Rohombaya;
Huna habari kuwa anatamani huu uchaguzi atii usifanyike ili ajiongezeye vijisiku kidogo ka siku 365 x 2 hivi?? Hana haja ya kutangaza nia bali kujiongezeya kidwogo tu. Tu miaka tuwiliiii
Rohombaya;
Huna habari kuwa anatamani huu uchaguzi atii usifanyike ili ajiongezeye vijisiku kidogo ka siku 365 x 2 hivi?? Hana haja ya kutangaza nia bali kujiongezeya kidwogo tu. Tu miaka tuwiliiii
Kwa utafiti mdogo 80% ya mizigo inayotoka Dar huwa inapita kwenda nchi jirani Malawi, Zambia, Zimbabwe, Congo (RDC), Burundi na Rwanda. Rejea ramani na mitandao ya reli utapata jibu
Hujasikia jirani yake huko magharibi. Rohombaya, uko wapi weye? Kasema hataki ila ni mahakama ndo wanamshinikiza. Huyu hapa kwetu, hataki kabisa kabisa ila kuna vitu vinampasa aendelee, 1. Katiba Bambikizwa ikipitishwa kwa kura ya ndiyoooo. 2 Nchi hii au inji hii ikiingia kwenye hali ya hatari kabla ya uchaguzi. Hawezi kuikimbia Ikulu aliyo apa kuilinda kwa vyovyote.
Namuunga mkono, hataki kabisaa ila ninyi ndo mtamfosi kuendelea kwa shingo upande kabisaaa:A S-rap::A S-rap::msela:
Khaa!! Maslahi?? Basi wana wazimu hawa. Kwani wameajiriwa na serikali? Kama wanataka maslahi mazuri kwanini wasiende kugombea ubunge bana?:glasses-nerdy: