Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.
Hizi price hasa za apple mbona zipo chini sana? Is it true?
Ni kweli kaka, coz mi nipo USA, na nimenunua MacBookPro 15" i7 ni dola 1,800, sasa naangalia bei za huyu mkuu wangu, MacBookPro 17" i5 $ 405!!! naona ni kama bure. Ila nilichoambiwa hapa USA bei za apple zinapangwa na kampuni na zinakua sawa kote, sasa nimeshangaa kuona bei sawa na bure, labda huyu mshkaji atuhakikishie ubora wake coz ni oda ya MacBookPro 2 za washkaji wangu wanataka kununua, so kama kweli hiyo ndo bei na ubora ni sawa, nitawaunganisha kwako
wana jf mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukanipm au ukanicall 0683714488. Mi napatikana dar.
hapa usa, macbookpro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000
Hapa USA, MacBookPro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000
Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.
WADAO TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD NAOMBA TUSUBIRI SUBIRI AFU BEI ZIZOONEKANA HAPO NI ZA KIWANDANI NA SI ZAKUNUNULIA COZ KUNA SHIPPING COST NA TAX SO MDA SI MREFU NITAATACH BUYING PRICE IN TSH. KARIBUN SAANA.