picha mbona nimeweka mkuu, angalia chini baada ya neno karibuni@jaslaws
Hizi sio laptop mkuu, bali ni tablet ambayo waweza kuitumia kama simu na pia kama laptop
Moja inaitwa CHUWI na nyingine inaitwa ALL WINERS, Zimetengenezwa uchina na zote ni orijino na sio copyni za aina gani mkuu
Moja inaitwa CHUWI na nyingine inaitwa ALL STAR, zote zimetengenezwa uchina na zote ni orijino na sio copy wala clone.which brand or make ?
origin of manufacture? ... clone or copy?
Hiyo ya inchi 7 chukua Tshs 250,000/=mkuu