Tablet inahitajika haraka

Tablet inahitajika haraka

Mkuu nilinunua simu kama hiv hiv, kumbe in ya mbio bana, najua unajua kale ka mtindo ka kutrack, hesabu yaliyonipata
1. Nililala sero kwa Mara ya kwanza maishani
2. Nilipata typhoid mule ndani
3. Simu ilienda bure na nilinunua 600k
4. Nilitoa M6 iliyodaiwa kuibiwa na Cm
5. Nilitoa lak 5 kama usumbufu
6. Nilikosa mtihan wa interview
7. Ngoja niishie hapo ila asaiv hata kichwa cha usb sinunui kwa mtu.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app

pole na asante kwa ushauri mkuu, hilo nalifahamu lilimkuta jamaa yangu pia.
ndio maana nimetarget mpya maana humu kuna watu wana maduka ya simu, used ntachukua kama imekosekana kabisa mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom