Hiyo inatokana na kuhusisha udhaifu (wa aina yoyote ile) na uanamke.Ndio maana hua haitumiwi positively. . . kwasababu inahusiana na mtu kuwa mdhaifu katika nyanja fulani.
Mf. kulia,kuongea sana,kuwa mmbea/mchonganishi, kulalamika, kutoweza kujitetea, kununa, kuwa sensitive n.k
Binafsi hua nakwepa sana kutumia hayo maneno maana hayana maana nzuri kwa mwanamke.Pia inatengeneza mentality ya kutokua huru haswa kwa watoto wa kiume.Ndio maana kwenye jamii yetu bado kuna ugumu kwa wanaume kueleza/onyesha hisia zao za kweli.