Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,957 Reaction score 194,008 Jul 7, 2021 #61 Poleni sana...
Sang'udi JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 9,374 Reaction score 23,011 Jul 7, 2021 #62 Tafuta pesa mkuu. Ungekuwa nazo hata kiasi kidogo tu, usingekuja kuanzisha uzi wenye mawazo ya kimasikini kama huu. Trump, Biden, n.k. pamoja na utajiri, umaarufu na power walizo nazo huomba michango. Tafuta pesa uache kulialia.
Tafuta pesa mkuu. Ungekuwa nazo hata kiasi kidogo tu, usingekuja kuanzisha uzi wenye mawazo ya kimasikini kama huu. Trump, Biden, n.k. pamoja na utajiri, umaarufu na power walizo nazo huomba michango. Tafuta pesa uache kulialia.
M muvangulumemile JF-Expert Member Joined May 25, 2020 Posts 697 Reaction score 986 Sep 20, 2022 #63 B R A C E L E T said: Mbona kuchanga kitu kidogo mbona mnalalamika sana? Click to expand... Kitu kidogo kivipi jamaa?
B R A C E L E T said: Mbona kuchanga kitu kidogo mbona mnalalamika sana? Click to expand... Kitu kidogo kivipi jamaa?
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 95,882 Reaction score 136,798 Sep 20, 2022 #64 Magroup ya whtsap ni majanga Sina group hata moja na sitaki kabisa Michongo hiyooo Ova