sanchez255 Senior Member Jun 9, 2015 171 312 May 12, 2017 #1 Hii tabia imekuwa ndo kamtindo siku hizi.. watu wapo kwenye majonzi we unatoa simu yko unajipiga selfie!! Huu ni ushamba
Hii tabia imekuwa ndo kamtindo siku hizi.. watu wapo kwenye majonzi we unatoa simu yko unajipiga selfie!! Huu ni ushamba
T thatsit JF-Expert Member Mar 12, 2017 1,870 2,915 May 13, 2017 #8 Inakua haujawaumiza lkn ukiumia hasa sidhani km utakumbuka ata kuvaa pichu. Ni mwendo wa kuchanganyikiwa na hasa kifo cha ghafla cha mtu unaemtegemea.
Inakua haujawaumiza lkn ukiumia hasa sidhani km utakumbuka ata kuvaa pichu. Ni mwendo wa kuchanganyikiwa na hasa kifo cha ghafla cha mtu unaemtegemea.
maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,296 15,583 May 13, 2017 #12 Dah...kuna watu watam jaman. Yaani analia kama anacheka
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,563 48,221 May 22, 2017 #14 Mtu anajipiga hukua analia. Sasa hayo Machozi ya kweli au maigizo