Sasa unapenda usipopendwaa ndugu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binadamu bhnaa alafu uje kuleta uzi wa kujiua humu kisa kuachwa na akati ulikuwa unamuhudumia...
NEVER FORCE A WOMAN TO LOVE YOU...NEVER
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh that gud... That mean u love u a hubby wat if ukapotezeaa hapo unakuwa unamaanisha nini???Kwanza nilikuwa nafurahi sana,,,kama Nina dakika nampigia,,,,na kama Sina namtxt mda huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwa ugomvi sanaEeeh that gud... That mean u love u a hubby wat if ukapotezeaa hapo unakuwa unamaanisha nini???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe huyo ndo mwanamke wako wa kwanza kuwa nae???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ndio bhasi Upo sahihi kuzidi kumganda..
Ni kweli,,,,inaonyesha ukipenda upo serious,i wish nipate mtu serious ivyo mwenye kujaliNa pia inakuwa inatuuma sana si wanaume tukiwa tunafanyiwa hivyo....!
Ila ikitiokea Mara ya kwanza tunachuka sawa tu ila ikiwa ndo tabia yako kila wakati unapigiwa sim haupokei na unapoteaa...kila wakati hii inamfanya mwanaume ajiuulize maswali mengi sanaaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli,,,,inaonyesha ukipenda upo serious,i wish nipate mtu serious ivyo mwenye kujali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe huyo ndo mwanamke wako wa kwanza kuwa nae???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ndio bhasi Upo sahihi kuzidi kumganda..
Inshort nilishwahi penda demu mpaka nkawa nasema hata akienda akatolewa bikra akarudi akasema turudiane ningekubalii lakini baadae alivyooondoka nikaumia sana nikamove on aisee alikuja kurudi kweli lakini hata sikutaka kumuonaa sababu tayari nilipata mtu tunaependana sio ninaempenda ila yeye hanipendi... USIOGOPE KUWA SITAPATA MWINGINE KAMA YEYE hiyo hofu inabidi awe nayo mwanamke japo hiyo ndo Hofu kubwa ya wanaume wengi hasa ikiwa first Love.....
WAZURI WENGI SANAA..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah ina maana ushauri wangu sio kabisaa ee??jinga saaana
Mungu anakuona unajua??
Acha tyuu,,,,,yani mm na boyfriend wangu,,,,, natamani afanye ivyo ila wapi,,,,,,afu watu ambao Sina mapenzi nao wanafanya adi keroHahahhaha alaf inavyotokeaa bahati mbaya wanaopendwaa hivyo wanakuwa hawajali....ila masikin wale wenye wenye mapenzi wanakuwa wanajali mambo kama hayo yawatokeee[emoji25][emoji25]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tyuu,,,,,yani mm na boyfriend wangu,,,,, natamani afanye ivyo ila wapi,,,,,,afu watu ambao Sina mapenzi nao wanafanya adi kero
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tuUmeeona sasaa...yaani inakuwaa vice versa.....unaeombaa angekuwa anarespond unayomfanyiaa yeye anakuwaa hana habari ila sasa ambaye hauna habri naye yeye ndo anakuwaa anarespond tenaa kwa kiwango kikubwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nikajua iyo ID yako inasadifu na maisha uliyomo sasa!! I mean labda ushakuwa wife mwenye material zake za satin ukawekwa ndanππππ kumbe umeweka tangazoNi kweli,,,,inaonyesha ukipenda upo serious,i wish nipate mtu serious ivyo mwenye kujali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahha but wats wrong with u Sweet16Mi nikajua iyo ID yako inasadifu na maisha uliyomo sasa!! I mean labda ushakuwa wife mwenye material zake za satin ukawekwa ndanππππ kumbe umeweka tangazo
[emoji23][emoji23][emoji23]Wala ata,,,,naficha nisijulikane kuna ndugu kibao wanajua nick name zangu zote,,, now nachat nao kabisa hawajui kama n mm,,but nasomaMi nikajua iyo ID yako inasadifu na maisha uliyomo sasa!! I mean labda ushakuwa wife mwenye material zake za satin ukawekwa ndanππππ kumbe umeweka tangazo
Imenichekesha kidogo na kahuruma kwa mbaaali ndo nkajikuta nawaza kwa maandishi
[emoji23][emoji23][emoji23]Wala ata,,,,naficha nisijulikane kuna ndugu kibao wanajua nick name zangu zote,,, now nachat nao kabisa hawajui kama n mm,,but nasoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenichekesha kidogo na kahuruma kwa mbaaali ndo nkajikuta nawaza kwa maandishi
Njoo ila usinifanye niwe wa3 tyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaa ngoja nimfate Tee wife material PM nikajuee zaidi kuhusu yeye...[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaahahahha siwezi bhnaa[emoji23][emoji23][emoji23]....mungu ananionaa nishachoka stres mieNjoo ila usinifanye niwe wa3 tyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app