Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Tabia mbaya.
Hasa kwa team kunyonya mnatuangusha.
Msitifanyie hivyo jamani. Tumieni maji.
Wengine hadi ma barmaid tunanyomya hatujali
kaone..yaan wewe
Tabia mbaya.
Hasa kwa team kunyonya mnatuangusha.
Msitifanyie hivyo jamani. Tumieni maji.
Wengine hadi ma barmaid tunanyomya hatujali
Kama mavazi aliyovaa yanaonyesha chupi au mstari wa tako na kitovu, ndo abebe tishu kwa kujisitiri?Habari wadau,
Siku hizi limekuwa ni jambo la kawaida kwa dada zetu kubeba tissu hadharani(kwenye mabaa, migahawa, n.k) na kuekekea uani (toilet ) bila shaka kujisadia.
Binafsi sina tatizo na matumizi ya karatasi hizo laini ila nashangazwa na tabia ya dada zetu kubeba karatasi hizo hadharani na kupita katikati ya watu bila kujali huku kila mtu anaona.
Je, tabia hii kweli inapendeza?
Je, huku ni kujisitiri?
Je, si kweli hata majumbani mwetu kuna baadhi ya watu huvizia watu wamepungua vibarazini ndio wajisikie huru kuingia chooni?
Au hii ndio new life style hivyo imekuwa ni kawaida tu?
Labda nilulize hivi; je, ni sahihi kujionyesha hadharani kuwa unaenda kujifuta/kupangusa sehemu zako za siri?
Tissue hazikai chooni zinaibiwa! Kazi kweli kweli.Uzungu wa kuiga huu. Kwahiyo hizo tissue hazikai huko chooni, wanaweka kwenye mikoba yao? Kwa nini hawaibebi hiyo mikoba kwenda nayo chooni? Nimekumbuka hakuna pa kuiweka! Umasikini huu! Na ujinga.
Nakumisskaone..yaan wewe
Muhind na ww unajipangusa na tishu?Mmmh ebu acha hayo mambo. Kuna sehemu yes unaweza kutumia maji sababu kuna mabomba ya kunawia na tissue za kujikaushia.
Sasa umeenda sehemu kuna ndoo ina ukoko wa uchafu kopo chafu halafu unawie hayo maji. Unafikiri kwanini UTI ni ugonjwa wa kawaida siku hizi?
Tissue ni muhimu kwa mwanamke kutembea nayo sababu kunawanawa na maji ya ovyo ovyo ndio mwanzo wa kuokota magonjwa. Ukirudi nyumbani utajisafisha vyema lakini njiani tissue ni muhimu zaidi.
Na huwezi jua hali ya mwanamke mpaka uwe mwanamke.
hupoi?Nakumiss
Mzee wa outfit...Wala sio kinyaa ni sawa na mtu kubeba kopo la kuchambia kwenda nalo chooni
Sawa tuta flashKinachoniudhi sana ni kutoflash baada ya kutimiza haja zao na kuacha tishu zikielea juu ya maji.
Badilikeni wote wenye tabia hiyo
Mzee wa outfit...
Mzee wa kutupia...Ndio vitu gani mm sijasoma ujue
Mzee wa kutupia...