Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 507
Mwezi mmoja tu baada ya ndoa, nikikutana na ndugu, jamaa na marafiki, baada ya salamu wengi huuliza..."shemeji vipi TAYARI" swali kama hili lina tu frastrate sana. Awe amepata mimba au la haiwahusu tena, nadhani nibusara kunyamaza tu au kuangalia matokeo badala ya kuulizia