Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Je, katika hizi una ipi ili utubu leo?* uwe tayari kwa Ibada njema Jumapili
Kuchati au kubofya bofya simu wakati wa Ibada.
Kukataa kuketi🪑 mahali umeelekezwa na wahudumu uketi. Hii inaonyesha jinsi gani ulivyomkaidi na hufuati utaratibu.
Upo kwenye Ibada ghafla unakimbia nje kupokea simu Huku ikiita kwa sauti za juu. Hii ni kukosa utii kwa Mungu wako.
Kuchelewa Ibadani.
Kuna watu hii imekua tabia sugu.
Kusinzia, kunong’onezana au kupiga story za chinichini wakati wa Ibada.
Kukaa bila sababu za msingi wakati wengine wamesimama au wakiwa wamepiga magoti. Hii ni kudharau Litrujia na kuwadharau viongozi wa Kanisa.
Kuangalia saa ya ukutani au saa ya mkononi wakati mahubiri yakiendelea.
Kutoshiriki kikamilifu kwenye huduma mbalimbali za kanisani.
Mfano wenzio wanaimba wewe unaangalia watu huyu kavaaje nk.
Kuondoka Ibadani kabla Ibada haijaisha. Tabia hii inaondoa uwepo kwa waumini wengine walio ibadani.
Kukusanyika nje ya kanisa wakati wa Ibada mkijadili mambo yenu.
Kama una tabia mojawapo kati ya hizi badilika Sasa hivi maana Mungu anapendezwa na mioyo ya unyenyekevu.
Kuchati au kubofya bofya simu wakati wa Ibada.
Kukataa kuketi🪑 mahali umeelekezwa na wahudumu uketi. Hii inaonyesha jinsi gani ulivyomkaidi na hufuati utaratibu.
Upo kwenye Ibada ghafla unakimbia nje kupokea simu Huku ikiita kwa sauti za juu. Hii ni kukosa utii kwa Mungu wako.
Kuchelewa Ibadani.
Kuna watu hii imekua tabia sugu.
Kusinzia, kunong’onezana au kupiga story za chinichini wakati wa Ibada.
Kukaa bila sababu za msingi wakati wengine wamesimama au wakiwa wamepiga magoti. Hii ni kudharau Litrujia na kuwadharau viongozi wa Kanisa.
Kuangalia saa ya ukutani au saa ya mkononi wakati mahubiri yakiendelea.
Kutoshiriki kikamilifu kwenye huduma mbalimbali za kanisani.
Mfano wenzio wanaimba wewe unaangalia watu huyu kavaaje nk.
Kuondoka Ibadani kabla Ibada haijaisha. Tabia hii inaondoa uwepo kwa waumini wengine walio ibadani.
Kukusanyika nje ya kanisa wakati wa Ibada mkijadili mambo yenu.
Kama una tabia mojawapo kati ya hizi badilika Sasa hivi maana Mungu anapendezwa na mioyo ya unyenyekevu.